Najisikia Kuua Tena

Najisikia Kuua Tena

Najisikia Kuua Tena

Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa

19,88 €
IVA incluido
Disponible
Editorial:
African Books Collective
Año de edición:
1985
Materia
Género policíaco y de misterio
ISBN:
9789966469533
19,88 €
IVA incluido
Disponible
Añadir a favoritos

“...Inspekta, najisikia kuua tena...” inadai sauti katika sim ambayo imo mikononi mwa shupavu wa polisi. Hii ikiwa simu ya pili, baada ya ile ya awali ambayo ilifuatwa na kifo cha mwandishi maarufu, inamtia Inspekta hasira kali, nusu ya wazimu. Anafanya yote awezayo kufanya ili amtie mwuaju huyu mikononi mwa sheria...hapatikani...Ndipo anajitokeza Joram Kiango. Mbinu zake za pekee, pamoja na kutokwa jasho jingi, kunamwezesha kugundua mengi amabyo yanaitisha dunia na kuitetemesha nchi nzima. lakini kila hatua anayoipiga katika upelelezi wake inamsongeza karibu zaidi na kinywa cha mauti chenye kiu ya damu yake, kilicho wazi kikimsubiri kwa hamu...

Artículos relacionados

  • Luce
    S. M. Peterson
    It's been ninety-four days since Calista narrowly escaped death at Firebrand hands. Ninety-four days since she last spoke with Grant. Ninety-four days since learning Bellicise killed her best friend, Rae. And, ninety-four days since they stole Dynam. Now that Calista understands the undeniable importance of Dynam, she's determined to help develop and share it wit...
  • Cozened
    Nicole Givens Kurtz
    "Magnificent mansions with dysfunctional diplomats, ruined rock stars and failing families hid their shortcomings behind these structures of supposed strength. Such is life in the District." --Cybil LewisCybil Lewis and her inspector-in-training, Jane, are back on the case. Hired to find the missing son of a prominent woman, Cybil is pulled into the District's sordid politi...
    Disponible

    15,54 €

  • A Hint of Crime
    A Hint of Crime, the second anthology from The Bristol Fiction Writers' Group. A collection of shady stories. 24 tales from 12 writers.  Each story contains a touch (some would say a barrowload) of larceny, of chicanery, of downright devilry, daylight robbery, twilight thievery and so much more. All bound together for your eyes to gnaw hungrily upon playing 'seek the c...
    Disponible

    7,79 €

  • Vantage Point
    Patricia Filteau
    Private investigator Kate Roarty specializes in restoring high-tech intellectual property to the rightful innovators. She is also an open-water long-distance swimmer. While enjoying her regular evening swim at Meech Lake in the Gatineau, Quebec, she discovers a body floating in the water. It is the body of Dr. Vincent Bernard Taylor, research scientist and CEO of the company iB...
  • Parts Are Parts
    John A Wooden
    Once you have them by the balls, their hearts and minds will follow. Cryogenic freezer units with body parts of some of Hollywood’s finest entertainers, the infamous Jet Pack Eight, are being shipped to federal buildings throughout the United States. A group, called the Code of Colors, are stealing weapons from the Department of Defense, and taking aim at grammar schools, chur...
    Disponible

    13,05 €

  • Just Cause
    Carolyn Arnold
    Her breath hitches, and her stomach lurches, tossing up bile into the back of her throat. The man holds the revolver to her head and says, 'Let’s play a little game.' She closes her eyes with each pull of the trigger, almost praying for a bullet. They told her if the gun doesn’t kill her, they’d take their time... The recent murder of a defense attorney has Detective Madison Kn...
    Disponible

    29,63 €

Otros libros del autor

  • Mtambo wa Mauti
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Mona Lisa, msichana mwenye sura ya malaika na umbo la malkia anafakiwa kuutikisa ujabali wa Joram Kiango hata akakubali kustarehe naye. Joram Kiango anajikuta katika mkasa mzito na wa kutisha, na ambao hajawahi kukutana nao maishani alipokurupuka usiku wa manane na kumkuta Mona Lisa akiwa maiti, tundu la risasi likivuja damu kifuani mwake. Mkasa unazidi kuwa mzito pale Mona Lis...
    Disponible

    19,56 €

  • Zawadi ya Ushindi
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Idd Amini, kiongozi dhalimu kutoka nchi ya Uganda, alipoiteka sehemu ya nchi ya Tanzania na kuangamiza mamia ya watu wasiokuwa na hatia, serikali ya Tanzania iliamua kumkomesha kabla hajatekeleza maafa zaidi. Iliwatuma vijana wake wakapambane naye ili kusalimisha nchi yao.Sikamona akiwa kijana barubaru aliukubali mwito wa serikali na kuingia vitani kukabiliana na Idd Amin na ki...
    Disponible

    19,62 €

  • Dimbwi la Damu
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa.Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko ...
    Disponible

    19,85 €

  • Tutarudi na Roho Zetu?
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Nchi za mstari wa mbele katika ukombozi kusini mwa Afrika zimetendewa mengi maovu na utawala huu dhalimu... Hata hivyo haikupatikana kutokea tishio zito la kutisha kama hili, ambalo linakaribia kutokea. Tukio la kutatanisha ambalo linawatoa machozi wananchi wa nchi mbalimbali. Wanajitokeza mashujaa kwenda Afrika Kusini, lakini kila aendaye huko hurudi na roho yake.Inspekta Komb...
    Disponible

    19,60 €

  • Nyuma ya Mapazia
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Tanzania iliingia katika uchaguzi mkuu ulioshirikisha vyama vingi kwa mara ya kwanza mwaka wa 1995. Kampeni kubwa za kitaifa na kimataifa zilifanyika hadharani na sirini. Yako mengi yaliyokuwa yakiendelea ‘Nyuma ya Mapazia’. Mengi ya kutisha na kuogofya, na ambayo yaliambatana na matumizi makubwa ya pesa, mauaji ya kikatili na ujambazi usio na kifani. Joram Kiango, Inspekta Kom...
    Disponible

    19,72 €