Mtambo wa Mauti

Mtambo wa Mauti

Mtambo wa Mauti

Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa

19,56 €
IVA incluido
Disponible
Editorial:
African Books Collective
Año de edición:
2004
Materia
Obra de misterio y suspense
ISBN:
9789966259974
19,56 €
IVA incluido
Disponible
Añadir a favoritos

Mona Lisa, msichana mwenye sura ya malaika na umbo la malkia anafakiwa kuutikisa ujabali wa Joram Kiango hata akakubali kustarehe naye. Joram Kiango anajikuta katika mkasa mzito na wa kutisha, na ambao hajawahi kukutana nao maishani alipokurupuka usiku wa manane na kumkuta Mona Lisa akiwa maiti, tundu la risasi likivuja damu kifuani mwake. Mkasa unazidi kuwa mzito pale Mona Lisa, aliyekufa anapotokea, tena katika kila maficho ya Joram Kiango. Kila anapotokea maisha ya watu wengi wasiokuwa na hatia yanaangamia. Mona Lisa ni binadamu wa kweli? Ni jini au ni malaika? Ni miongoni mwa maswali ambayo nusura yamtie wazimu Joram Kiango, jeshi zima na vikosi vyote vya usalama. Ungana naye Joram kutatua kizungumkuti hiki kiso mwisho.

Artículos relacionados

  • The Boogie Trap
    Kerry Copeland Smith
    Something happened to two boys over sixty years ago. The backwoods of Alabama in the 1940's set the stage for this edge of your seat thriller. Boogie and Trapper are best friends known about town for their wild, annoying, obnoxious, and hysterically funny antics. Roaming the woods, swimming in the creek, playing double dare, smoking, cussing, drinking beer, and always trying...
  • Till the Dust Settles
    Pat Young
    “An enthralling narrative of shifting identity juxtaposed with New York in crisis…a wickedly unnerving thriller.”—Caro Ramsay, author of AbsolutionLucie married young. Her husband has become abusive, controlling and violent. Having lost everything as a result of the marriage, Lucie decides it is time to walk away. As she leaves the house on the morning of September 11, heading ...
    Disponible

    12,63 €

  • The Narcissist
    Jon D Zimmer
    In The Narcissist: A Dark Journey, Charlotte Prentice is beautiful, intellectual and dangerous. She will do whatever it takes to achieve the adoration and success she desires. Who is this woman whose beauty is only overshadowed by her intellect? Charlotte herself doesn’t know. Outwardly, she is a woman who fights against discrimination and poverty, an advocate of education a...
  • The Abattoir of Dreams
    Mark Tilbury
    The past is never far away. Michael Tate has not had an easy life. With his father in prison, and his mother dead, Michael was sent to Woodside Children’s Home. Now an adult, Michael wakes up in hospital from a coma suffering from amnesia and paralysis. Confused and terrified, he is charged with the fatal stabbing of his girlfriend, Becky. He also learns he attempted to end h...
  • Scattered Pieces
    J . J. Burke
    Having barely survived a fight for his life with an international terrorist, former covert operative Jon Morton is now plunged into a nerve-wracking quest for a killer who knows everything about him, but whom he knows almost nothing about. Jon can rely on only three people to solve this puzzle—his ex-commander, Carlos Montoto, and himself. Jon’s former commander has the resourc...
    Disponible

    11,07 €

  • MODRIOMN
    W. E. Ritchie / Writ
    She was getting ready for bed, sitting at her dressing table in the half light. Softly, she hummed a tune to herself as she brushed her long hair, her slender fingers carefully gathering the strands of golden tresses containing  just a hint of subtle red. Distractedly, she fiddled with her earring, trying to loosen it so she could place it on the table surface. She glanced up a...
    Disponible

    14,56 €

Otros libros del autor

  • Najisikia Kuua Tena
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    “...Inspekta, najisikia kuua tena...” inadai sauti katika sim ambayo imo mikononi mwa shupavu wa polisi. Hii ikiwa simu ya pili, baada ya ile ya awali ambayo ilifuatwa na kifo cha mwandishi maarufu, inamtia Inspekta hasira kali, nusu ya wazimu. Anafanya yote awezayo kufanya ili amtie mwuaju huyu mikononi mwa sheria...hapatikani...Ndipo anajitokeza Joram Kiango. Mbinu zake za pe...
    Disponible

    19,88 €

  • Zawadi ya Ushindi
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Idd Amini, kiongozi dhalimu kutoka nchi ya Uganda, alipoiteka sehemu ya nchi ya Tanzania na kuangamiza mamia ya watu wasiokuwa na hatia, serikali ya Tanzania iliamua kumkomesha kabla hajatekeleza maafa zaidi. Iliwatuma vijana wake wakapambane naye ili kusalimisha nchi yao.Sikamona akiwa kijana barubaru aliukubali mwito wa serikali na kuingia vitani kukabiliana na Idd Amin na ki...
    Disponible

    19,62 €

  • Dimbwi la Damu
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa.Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko ...
    Disponible

    19,85 €

  • Tutarudi na Roho Zetu?
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Nchi za mstari wa mbele katika ukombozi kusini mwa Afrika zimetendewa mengi maovu na utawala huu dhalimu... Hata hivyo haikupatikana kutokea tishio zito la kutisha kama hili, ambalo linakaribia kutokea. Tukio la kutatanisha ambalo linawatoa machozi wananchi wa nchi mbalimbali. Wanajitokeza mashujaa kwenda Afrika Kusini, lakini kila aendaye huko hurudi na roho yake.Inspekta Komb...
    Disponible

    19,60 €

  • Nyuma ya Mapazia
    Ben R. Mtobwa / Ben RMtobwa
    Tanzania iliingia katika uchaguzi mkuu ulioshirikisha vyama vingi kwa mara ya kwanza mwaka wa 1995. Kampeni kubwa za kitaifa na kimataifa zilifanyika hadharani na sirini. Yako mengi yaliyokuwa yakiendelea ‘Nyuma ya Mapazia’. Mengi ya kutisha na kuogofya, na ambayo yaliambatana na matumizi makubwa ya pesa, mauaji ya kikatili na ujambazi usio na kifani. Joram Kiango, Inspekta Kom...
    Disponible

    19,72 €